Waziri Aweso,Mhandisi Sanga wameshiriki Mkutano wa Maswala ya Huduma ya Maji Duniani WWIS,London.

Waziri wa Maji Jumaa Aweso, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Anthony Sanga pamoja na ujumbe wa Wizara ya Maji wameshiriki Mkutano maalum unaohusiana na Maswala ya Huduma ya Maji Duniani World Water-Tech Innovation Summit (WWIS) 2023 London unaoratibiwa na serikali ya Uingereza. Akizungumza katika mkutano Waziri Aweso ametoa wito kwa wadau wa sekta